Maharamia wa Kisomali wafyatuliana risasi.
Tuesday, September 30th, 2008Kumekua na ufyatulianaji wa risasi kati ya maharamia wa kisomali kwenye meli iliyotekwa nyara ikiwa na silaha. Afisa wa muungano wa wasafiri wa maji eneo la Afrika mashariki Andrew Mwangura amesema kuwa wanaume watatu walipigwa risasi kufuatia kutofautiana kuhusu mbinu ya oparesheni yao. Maharamia waliiandama meli ya Ukraine wiki iliopita na wameitisha dola milioni ishirini [...]