Sasa Kalonzo auipinga ripoti ya Waki
Thursday, October 30th, 2008Makamu wa rais Kalonzo Musyoka sasa ameungana na viongozi wanaoupinga ripoti ya Waki.Kalonzo amesema kuwa mapendekezo ya ripoti hiyo kuhusu ghasia za baada ya uchaguzi ambayo imezua hisia mbali mbali kutoka kwa viongozi haina ushahidi wa kutosha ya kumuhukumu yeyyote mahakamani.Makamu wa rais amedokeza kuwa baraza la mawaziri litaafikiana kuhusu njia mwafaka utakaomaliza uhasama huo [...]