Archive for November, 2008

Fish united kukabiliana na Kimumu FC wikendi

Friday, November 28th, 2008

Klabu ya Fish United itachuana wikendi hii na Kimumu FC kwenye mechi za robo fainali katika kinyang’anyiro cha amani kinachoandaliwa na shiroka la ASTEP.Akizungumza na meza yetu ya michezo, kocha Lukas Lusigi alisema kuwa klabu hiyo ya Fish United ina imani kuwa itaibuka na ushindi katika mechi hiyo.
Lusigi amesema kuwa klabu hiyo imetia makali na [...]

Baraza la mji wa Eldoret kushirikiana na Morocco

Friday, November 28th, 2008

Baraza la manispaa ya mji wa Eldoret una mpango wa kuwa na ushirikiano wa muda mrefu na baraza la mji wa Rabat nchini Morocco. Meya wa mji wa Eldoret Sammy Rutoh amesema kuwa meya wa baraza hilo la Rabat Baron Omar ameahidi kufanya kazi kwa ushirikiano na manispaa ya mji wa Eldoret kwa kuiuza mji [...]

Kibaki aelekea Qatar kwa ziara rasmi ya siku tatu

Friday, November 28th, 2008

Rais Mwai Kibaki hii leo ataanza rasmi ziara ya siku tatu nchini Qatar. Rais pamoja na wajumbe watakaoandamana naye wanatarajiwa kuhudhuria kongamano la kimataifa kuhusu ufadhili na maendeleo. Rais Kibaki atakuwa miongoni mwa viongozi watakaokuwa wakijadili hali ya kusambaratika kwa uchumi dunianai. Inakisiwa kuwa hali hiyo ya kudorora kwa uchumi kwa sasa imeathiri mataifa mengi [...]

Raila awarded by Lions Club

Friday, November 28th, 2008

Prime Minister Raila Odinga is assuring the international community that the country was back on track after recovering from the post elections crisis. Raila announced that the country had now embarked on a reconstruction and reconciliation path among perceived rival communities after feuding political sides settled for an all-inclusive government or the common good of [...]

Parties rush to beat deadline.

Friday, November 28th, 2008

As the deadline approaches for political parties to ensure they comply they the political parties act, now political parties are doing everything possible to fulfill the law. The Act demands that before being registered a new by the ECK, existing political parties must have 200 registered members in all the eight provinces and one founder member [...]

Kibaki sends a message of condolence to India

Friday, November 28th, 2008

President Mwai Kibaki has sent a message of condolence to Indian Prime Minister Manmohan Singh, President Pratibha Patil and the people of India following the gun and grenade attacks at the Oberoi and Taj Mahal hotels and other parts of Mumbai in which several people lost their lives. In his message, President Kibaki expressed his [...]

Kibaki heads for Doha summit

Friday, November 28th, 2008

President Mwai Kibaki leaves the country Friday for a three day official visit to Doha, Qatar to attend the International Conference on Financing and Development. The conference comes against the backdrop of the global financial crunch that has slowed down the economies of many countries. The situation has been aggravated by the high energy and [...]

Politicians blamed for the rising food prices

Friday, November 28th, 2008

With the biting food prices felt in the country and across the world Kenyans are now pointing their fingers on the politicians who they say have not done enough to save the situation. Here in Eldoret residents have expressed their views on the rising food prices even after the reduction of fuel prices in the [...]

KNUT backs down on threat to storm DEO’s offices

Friday, November 28th, 2008

Kenya National Union of Teachers officials have backed down on threats to storm District Education Offices countrywide. The organization had threatened to take the move so as to demand for their money. Acting Secretary General Lawrence Kahindi Majali told teachers that Teachers Service Commission had deposited 2.5 billion shillings as remittance for deductions. Teachers were [...]

Eldoret Municipality establishes business ties with Morocco.

Friday, November 28th, 2008

Eldoret municipal council is looking forward to having a long term working relationship with Rabat municipality in Morocco. Eldoret Mayor Sammy Rutoh who spoke to the press after attending the fifth edition of Africities conference in Rabat Morocco said the mayor of Rabat Baron Omar pledged to support the Eldoret municipal council and encouraged investors [...]