Rais Mwai Kibaki hii leo ataanza rasmi ziara ya siku tatu nchini Qatar. Rais pamoja na wajumbe watakaoandamana naye wanatarajiwa kuhudhuria kongamano la kimataifa kuhusu ufadhili na maendeleo. Rais Kibaki atakuwa miongoni mwa viongozi watakaokuwa wakijadili hali ya kusambaratika kwa uchumi dunianai. Inakisiwa kuwa hali hiyo ya kudorora kwa uchumi kwa sasa imeathiri mataifa mengi ulimwenguni
This entry was posted
on Friday, November 28th, 2008 at 8:11 am and is filed under Fahamu Ya Fish.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed.
You can skip to the end and leave a response. Pinging is currently not allowed.