Maafisa wa Uganda wawanasa wavuvi wa Kenya katika kisiwa cha Migingo

Maafisa wa usalama wa Uganda wamewatia nguvuni wakenya tisa katika kisiwa hicho cha migingo kwa madai ya kutekeleza shughuli zao za uvuvi katika maeneo yao.Hali ya taharuki imetanda katika kisiwa hicho ambacho kinazozaniwa na taifa la Kenya na Uganda huku kila mmoja akidai umiliki wa kisiwa hicho.Akidhibitisha kisa hicho, msemaji wa polisi Eric Kiraithe alisema kuwa  hatua mwafwaka itachukuliwa ili kusuluhisha tatizo hilo ambalo la umiliki wa kisiwa hicho cha Migingo.Haya yanajiri  mwezi mmoja tu baada ya Kenya na Uganda kufanya mkutano wa kusuluhisha mzozo huo wa umiliki.

Leave a Reply

XHTML: You can use these tags: <a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>

:mrgreen: :neutral: :twisted: :shock: :smile: :???: :cool: :evil: :grin: :oops: :razz: :roll: :wink: :cry: :eek: :lol: :mad: :sad:

Isulong SEOph