Archive for May, 2009

Kazi kwa vijana initiative marred with allegations of corruption

Thursday, May 7th, 2009

The government initiative to employ more youth dubbed “Kazi kwa Vijana” has been marred by allegations of corruption.
Youth from Kapsoya Ward allege that their councilor John Mbugua had an already complied list with names of nominees for the jobs.
The youth also allege that they have been sidelined from decision making.
Contacted to give comment over the [...]

Public urged to donate blood

Thursday, May 7th, 2009

Eldoret blood transfusion centre is calling for a collective responsibility in blood donation to enable it serve other regional hospitals.
Thomas Rotich the acting officer in charge at the Eldoret blood transfusion centre laboratory says there is blood shortage because students who are major donors had gone on holiday.
Rotich says they want to stop depending on [...]

Cholmondeley found guilty of manslaughter.

Thursday, May 7th, 2009

The case against Tom Cholmondeley will draw to an end Tuesday next week after Judge Muga Apondi hands down a sentence.
Thursday, Judge Apondi found Cholmondeley guilty of manslaughter, a lesser charge than expected following what he termed as the accused not having any malice to kill the deceased.
The three year trial reached its peak Thursday [...]

Cholmondeley ruling expected shortly

Thursday, May 7th, 2009

Tom Cholmondeley has arrived at the High Court to hear a ruling on whether he is guilty over the killing of stonemason Robert Njoya.
Cholmondeley has since denied the charge and Judge Muga Apondi is to deliver the judgment shortly.
It is alleged that at the time of shooting, the accused was in the company of a [...]

Parents urged to take children for immunization.

Tuesday, May 5th, 2009

Parents have been advised to ensure that their children are immunized against various diseases in the going Malezi bora campaign launched Monday in Uasin Gishu District Hospital in Eldoret.
Eldoret West District Medical Officer of Health Dr. Bill Lubanga said close to 200,000 children less than 5 years, are projected to benefit from the program. Dr. [...]

Ajali mbaya ya barabara iliyotokea mapema hii leo Asubuhi ambayo ilihusisha magari mawili karibu na hospitali ya Mediheal iliyokaribu na ikulu ndogo ya rais mjini Eldoret iliwaacha watu kumi kuuguza majeraha.

Tuesday, May 5th, 2009

Wazazi wameshauriwa kuhakikisha kuwa watoto wao wanapata chanjo ya kuwazuia kutokana na magonjwa mbalimbali ya kuambukizwa. Akizungumza hii leo katika afisi yake, afisa mkuu wa matibabu katika wilaya ya Eldoret Magharibi Daktari Bill Lubanga,alisema kuwa kampeini  inayoendelea ya malezi bora inanuia kuwahudumia watoto alfu mia moja na sabini (170,000) wenye umri wa chini ya miaka [...]

Watu kumi wapata majeraha baada ya kuhusika katika ajali

Tuesday, May 5th, 2009

Ajali mbaya ya barabara iliyotokea mapema hii leo Asubuhi ambayo ilihusisha magari mawili karibu na hospitali ya Mediheal iliyokaribu na ikulu ndogo ya rais mjini Eldoret iliwaacha watu kumi kuuguza majeraha.
Kwa mujibu wa aliyeshuhudia ajali hiyo abiria waliokuwa kwenye viti vya mbele walijeruhiwa vibaya katika ajali hiyo. Wahisani wema walijitokeza baada ya kutokea kwa ajali [...]

Maafisa wa polisi wanasa misokoto ya bangi.

Tuesday, May 5th, 2009

Watu wawili wanawasaidia polisi kufanya uchunguzi baada ya kunaswa na misokoto alfu 12 ya bangi. Maafisa wa Polisi walinasa bangi hiyo katika barabara kuu ya Mombasa kuelekea Nairobi na inaaminika bangi hiyo ilikuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani ya Tanzania kupitia Mombasa.
Bangi hiyo iliyokuwa ikisafirishwa kwa magari ya kibinafsi zilinaswa mahali tofauti tofauti. Misokoto alfu 10 [...]

Mpango wa kazi kwa vijana wafika Eldoret,

Tuesday, May 5th, 2009

Serikali kupitia baraza la manispaa la mji wa Eldoret imetoa nafasi za kazi kwa vijana wa mji huo. Meya wa mji wa Eldoret Samuel Rutoh amefichua kuwa serikali imetenga nafasi 1600 za ajira kupitia kwa mpango wa kazi kwa vijana utakaotekelezwa na baraza lake. Rutoh amedokeza kuwa kazi hizo zitawafanya vijana kuwa na shughuli  na [...]

Wakimbizi wa ndani wadai maafa yatokana na njaa

Tuesday, May 5th, 2009

Wakimbizi wa ndani kwa ndani walioweka makaazi katika kambi ya ukimbizi katika uwanja wa maonyesho ya kilimo mjini Eldoret wanadai kuwa maafa ambayo yametokea katika kambi hiyo katika siku za hivi maajuzi yametokana na njaa. Kwa mujibu wa afisa msimamizi katika kambi hiyo Mwangi Gikonyo, chakula walichopokea wiki iliyopita haitoshi kuwasukuma hadi muda wa wiki [...]