Ajali mbaya ya barabara iliyotokea mapema hii leo Asubuhi ambayo ilihusisha magari mawili karibu na hospitali ya Mediheal iliyokaribu na ikulu ndogo ya rais mjini Eldoret iliwaacha watu kumi kuuguza majeraha.
Tuesday, May 5th, 2009Wazazi wameshauriwa kuhakikisha kuwa watoto wao wanapata chanjo ya kuwazuia kutokana na magonjwa mbalimbali ya kuambukizwa. Akizungumza hii leo katika afisi yake, afisa mkuu wa matibabu katika wilaya ya Eldoret Magharibi Daktari Bill Lubanga,alisema kuwa kampeini inayoendelea ya malezi bora inanuia kuwahudumia watoto alfu mia moja na sabini (170,000) wenye umri wa chini ya miaka [...]