Wakulima wataka mahindi kununuliwa kwa shilingi 2360
Saturday, December 6th, 2008Wakulima kutoka eneo la North Rift wametishia kutouzia mahindi yao shirika la kitaifa la mazao na nafaka nchini hadi pale nafaka yao yatanunuliwa kwa bei watakayokubaliana nayo.Mkulima maarufu ambaye pia ni mkurugenzi wa shirika la ukuzaji nafaka Timothy Busienei akizungumza kwa niaba ya wakulima alisema kuwa wakulima wanataka shirika la kitaifa la mazao na nafaka [...]