Bunge lina hadi mwezi Agosti kubuni mahakam maalum
Wednesday, April 1st, 2009Aliyekuwa Katibu mkuu wa umoja wa mataifa na mpatanishi mkuu katika mzozo wa kisiasa humu nchini daktari Koffi Annan amesema kuwa bunge la Kenya lina hadi tarehe thelathini na moja mwezi agosti mwaka huu kubuni mahakama maalum itakayosikiza kesi za washukiwa waliochochea ghasia za baada ya uchaguzi.Annan amesema ikiwa mahakama hiyo itakosa kubuniwa, bila shaka [...]